Isaiah 55:3-5


3 aTegeni sikio mje kwangu,
nisikieni mimi, ili nafsi zenu zipate kuishi.
Nitafanya agano la milele nanyi,
pendo la uaminifu nililomwahidi Daudi.

4 bTazama, nimemfanya kuwa shahidi wa mataifa,
kiongozi na jemadari wa mataifa.

5 Hakika utaita mataifa usiyoyajua,
nayo mataifa yale yasiyokujua yataharakisha kukujia,
kwa sababu ya Bwana Mwenyezi Mungu wako,
yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,
kwa maana amekutukuza.”

Copyright information for SwhKC